Kocha mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, amesema anaamini timu yake inaweza kupata matokeo mazuri dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2026/27.
Yanga itaanza kampeni yake ya kutetea ubingwa dhidi ya Namungo kesho, Agosti 15, 2026, katika Uwanja wa Majaliwa, mkoani Lindi, huku Mngqithi akitambua kuwa timu yake haikupata muda mrefu wa kujiandaa..... download Xtra 90 App



