Mshambuliaji wa Yanga SC, Jean Othos Baleke, amesema yuko tayari kurejea Simba SC iwapo klabu hiyo itawasiliana naye na kuhitaji huduma yake.
Baleke, ambaye aliwahi kuitumikia Simba kwa mafanikio akiwa kwa mkopo, amesema anaiona klabu hiyo kama nyumbani kwake na hana sababu ya kukataa kurejea Msimbazi endapo atapata mwaliko.
“Kama wananipigia mimi simu, tunafanya mambo naenda..... download Xtra 90 App



