Manchester City bado haijakata tamaa katika harakati za kumsajili kiungo wa Chelsea, Enzo Fernandez, licha ya kushindwa kuwasilisha ofa ndani ya muda uliowekwa na Chelsea.
Kwa mujibu wa taarifa za hivi karibuni, Manchester City imeendelea kujadili ndani ya klabu uwezekano wa kujaribu tena kumsajili Fernandez, huku wawakilishi wa klabu hiyo wakiwa wamewasiliana tena na kambi ya mchezaji..... download Xtra 90 App



