Yanga SC imeanza kampeni ya msimu mpya wa NBC Premier League kwa ushindi mnono baada ya kuichapa Namungo FC mabao 3-1 katika mchezo wa ufunguzi.
Wananchi walionyesha kiwango kizuri kwenye mchezo huo, wakitumia vyema nafasi walizopata mbele ya lango la Namungo na kufanikiwa kupata mabao matatu yaliyowapa ushindi muhimu ugenini.
Namungo FC, licha ya kupata bao moja na kujaribu kurejea..... download Xtra 90 App



