Leo, Jumapili Agosti 16, 2026, Arsenal na Manchester City wanakutana katika mchezo wa Ngao ya Jamii (FA Community Shield), ukiwa ni ufunguzi rasmi wa msimu mpya wa soka la England.
Mchezo utapigwa katika Principality Stadium, Cardiff, kuanzia saa 11:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki (EAT).
Huu si mchezo wa kawaida wa maandalizi. Arsenal wanaingia kama mabingwa wa Premier League..... download Xtra 90 App



