Baba mzazi na msimamizi wa mchezaji Israel Patrick Mwemda, amemkingia kifua mwanawe kufuatia tuhuma zinazomhusisha na madai ya kuuza mechi katika mchezo wa NBC Premier League uliochezwa msimu uliopita katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam.
Mzee Mwemda amesema anasimamia maslahi ya mwanawe na kusisitiza kuwa suala hilo linapaswa kufanyiwa uchunguzi wa kina ili ukweli..... download Xtra 90 App



