Kocha mkuu wa Coastal Union, Fikiri Elias, amesema timu yake imejiandaa kikamilifu kwa mchezo dhidi ya mabingwa watetezi Yanga SC utakaochezwa kesho Agosti 20, 2026, katika Uwanja wa KMC jijini Dar es salaam .
Coastal Union wanaingia kwenye mchezo huo wakitafuta matokeo ya kwanza ya msimu baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa katika mchezo wao wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania..... download Xtra 90 App



