Simba SC imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
Ushindi huo umeipa Simba alama tatu muhimu na kuifanya kufikisha alama sita na kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi.
Mabao yote mawili ya Simba yalifungwa katika kipindi cha kwanza kupitia Clatous Chama..... download Xtra 90 App



