Yanga SC imeanza vyema raundi ya pili ya Ligi Kuu ya NBC baada ya kuichapa Coastal Union mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.
Mchezo huo ulikuwa wa upande mmoja kwa muda mwingi, huku Yanga ikitawala mchezo na kutengeneza nafasi kadhaa za wazi ambazo ingeweza kuzitumia kuongeza idadi ya mabao.
Albert Kangwanda ndiye aliyeifungulia Yanga ukurasa wa mabao..... download Xtra 90 App



