Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe, amefafanua kuhusu mustakabali wa beki Abdulnasir Mohamed ‘Gamal’ pamoja na kiungo Mohamed Damaro, ambao wote wametua Singida Black Stars licha ya awali kuonekana wakiwa sehemu ya kikosi cha Yanga.
Kamwe amethibitisha kuwa Gamal amejiunga na Singida Black Stars kwa mkopo, baada ya kufanya mazoezi na kikosi cha Yanga wakati..... download Xtra 90 App



