Ligi Kuu ya NBC itaendelea leo kwa michezo miwili, huku macho ya mashabiki yakielekezwa zaidi katika mchezo wa Singida Black Stars dhidi ya Simba SC utakaopigwa majira ya saa 12:00 jioni kwenye Uwanja wa Airtel, mkoani Singida.
Singida BS vs Simba: Hatumwi mtoto dukani Singida
Leo saa 12:00 jioni, Singida Black Stars itakuwa mwenyeji wa Simba SC katika mchezo wa mzunguko wa tatu..... download Xtra 90 App



