Manchester United iko mbioni kukamilisha usajili wa kiungo wa Brighton & Hove Albion na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba, ambaye amekuwa akifuatiliwa kwa karibu na klabu hiyo ya Jiji la Manchester.
Kukamilika kwa dili hilo kutaiwezesha Manchester United kuongeza chaguo jingine katika eneo la kiungo, baada ya klabu hiyo kukamilisha usajili wa Youri Tielemans raia wa Ubelgiji na..... download Xtra 90 App



