Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga) umepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha aliyekuwa mtendaji wa klabu hiyo katika Idara ya Ulinzi, Ramadhani Mganda, maarufu kwa jina la Penta, aliyefariki dunia Ijumaa, Agosti 21, 2026, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, msiba huo upo nyumbani kwa marehemu, Magomeni, Dar es Salaam. Mwili..... download Xtra 90 App



