Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia Jamal Bakhresa, kiongozi wa Azam FC, kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF leo, Agosti 22, 2026, Bakhresa ametiwa hatiani kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu alivyofanya kabla na baada ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho la..... download Xtra 90 App



