Mustakabali wa Aziz Ki na Selemani Mwalimu uko mikononi mwa Mngqithi: Kamwe

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said • 24th August 2026


Mustakabali wa Aziz Ki na Selemani Mwalimu uko mikononi mwa Mngqithi: Kamwe

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Shaban Kamwe, amesema suala la kuwachezesha nyota wapya Aziz Ki na Selemani Mwalimu katika mchezo wa leo dhidi ya JKT Tanzania lipo chini ya mipango ya kocha mkuu Manqoba Mngqithi.

Kamwe amesema uamuzi kuhusu ushiriki wa wachezaji hao ni wa benchi la ufundi, huku akiwataka mashabiki wa Yanga kuelekeza nguvu zao katika kuisapoti timu na kupambania pointi tatu katika mchezo huo.

Yanga itashuka uwanjani leo saa 12:00 jioni katika Uwanja wa KMC Complex kwa mchezo wake wa tatu wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2026/27. Mabingwa hao wameanza msimu kwa ushindi katika michezo yao miwili ya awali, wakikusanya pointi zote sita.

Mchezo dhidi ya JKT Tanzania unawapa Yanga nafasi ya kuendeleza mwanzo wao mzuri wa msimu, huku macho ya mashabiki yakielekezwa pia kwenye uamuzi wa Mngqithi kuhusu uwezekano wa kuwatumia Aziz Ki na Selemani Mwalimu.


  

More Stories

Xabi Alonso - Enzo Akiondoka Chelsea Sitoshangaa
Xabi Alonso - Enzo Akiondoka Chelsea Sitoshangaa
Today, READ MORE →
NBC Premier League Leo: Michezo Miwili Yaendelea
NBC Premier League Leo: Michezo Miwili Yaendelea
Today, READ MORE →
Dickson Job na Clement Mzize Kurejea Kikosini Karibuni
Dickson Job na Clement Mzize Kurejea Kikosini Karibuni
Today, READ MORE →
Chelsea Yaanza Premier League kwa Ushindi Dhidi ya Fulham.
Chelsea Yaanza Premier League kwa Ushindi Dhidi ya Fulham.
Today, READ MORE →
Yanga hii haikamatiki, yaichapa JKT Tanzania 4-0, yarudi kileleni
Yanga hii haikamatiki, yaichapa JKT Tanzania 4-0, yarudi kileleni
Yesterday, READ MORE →
Highlights : Yanga 4-0 JKT Tanzania
Highlights : Yanga 4-0 JKT Tanzania
Yesterday, READ MORE →
Simba yapanga kusafiri na mashabiki Malawi, Ligi ya Mabingwa
Simba yapanga kusafiri na mashabiki Malawi, Ligi ya Mabingwa
Yesterday, READ MORE →
Simba SC kutumia Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kama uwanja wao wa nyumbani
Simba SC kutumia Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kama uwanja wao wa nyumbani
Yesterday, READ MORE →
Mustakabali wa Aziz Ki na Selemani Mwalimu uko mikononi mwa Mngqithi: Kamwe
Mustakabali wa Aziz Ki na Selemani Mwalimu uko mikononi mwa Mngqithi: Kamwe
Yesterday, READ MORE →
Julián Álvarez Aingia Kwenye Presha nzito, Atlético Yataka €150M.
Julián Álvarez Aingia Kwenye Presha nzito, Atlético Yataka €150M.
Yesterday, READ MORE →