Fei toto kurejea kesho dhidi ya Geita Gold

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 27th August 2026


Fei toto kurejea kesho dhidi ya Geita Gold

Kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salumu anatarajiwa kurejea kikosini apo kesho kufuatia kukosa Michezo mitatu ya msimu wa 2026-27 kutokana na kifungo Cha kadi nyekundu aliyoipata msimu wa 2025-26 fainali ya CRDB CUP dhidi ya Simba .

Feisal amekosa michezo dhidi ya Polisi Tanzania, TRA United na dhidi ya Pamba Jiji na atarejea apo kesho ambapo Azam FC itakuwa ugenini katika uwanja wa Bukombe dhidi ya Geita Gold.

Azam tayari imekusanya alama 7 kati ya 9 ambazo wamewania msimu huu baada ya kushinda miwili na Sare Moja dhidi ya Polisi Tanzania

Urejeo wa Feisal unaenda kuboresha eneo la ushambuliaji la Azam FC ambalo Limekwisha funga mabao 5 msimu huu wa 2026-27


  

More Stories

Fei toto kurejea kesho dhidi ya Geita Gold
Fei toto kurejea kesho dhidi ya Geita Gold
Today, READ MORE β†’
Yaya TourΓ© Aandika Historia UEFA Champions League, Awa mwafrika wa kwanza kufika hatua hii
Yaya TourΓ© Aandika Historia UEFA Champions League, Awa mwafrika wa kwanza kufika hatua hii
Today, READ MORE β†’
Yanga SC Wajipanga Vizuri kwa Mechi Dhidi ya Pamba Jiji
Yanga SC Wajipanga Vizuri kwa Mechi Dhidi ya Pamba Jiji
Today, READ MORE β†’
Liverpool Wakubaliana na PSG Kumsajili Bradley Barcola
Liverpool Wakubaliana na PSG Kumsajili Bradley Barcola
Today, READ MORE β†’
Timu zaidi zafuzu Champions League, droo ya msimu mpya kuchezeshwa leo.
Timu zaidi zafuzu Champions League, droo ya msimu mpya kuchezeshwa leo.
Today, READ MORE β†’
Mbappe aivunja rekodi ya Ronaldo ya mabao 86 misimu miwili Real Madrid
Mbappe aivunja rekodi ya Ronaldo ya mabao 86 misimu miwili Real Madrid
Today, READ MORE β†’
Aucho aibukia Sidama Bunna FC ya Ethiopia
Aucho aibukia Sidama Bunna FC ya Ethiopia
Today, READ MORE β†’
Liverpool waingia mbio za kumsajili winga wa Senegal Ismaila Sarr
Liverpool waingia mbio za kumsajili winga wa Senegal Ismaila Sarr
Today, READ MORE β†’
Rasmi: Yanga Wamkopesha Ninju Kwenda Polisi Tanzania
Rasmi: Yanga Wamkopesha Ninju Kwenda Polisi Tanzania
Yesterday, READ MORE β†’
Matola afunguka maandalizi ya Simba kuikabili Coastal Union
Matola afunguka maandalizi ya Simba kuikabili Coastal Union
Yesterday, READ MORE β†’