Uwanja wa Uhuru waandaliwa tayari kuwa machinjio ya Simba kwenye CAF Champions League.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 2nd September 2026


Uwanja wa Uhuru waandaliwa tayari kuwa machinjio ya Simba kwenye CAF Champions League.

Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam unaendelea kujiandaa kwa ajili ya mchezo wa CAF Champions League utakaowakutanisha Simba SC na Mighty Wanderers ya Malawi katika hatua ya kwanza ya mchujo wa mashindano hayo msimu wa 2026/27.

Simba itakuwa mwenyeji wa mchezo wa pili wa raundi hiyo dhidi ya Mighty Wanderers, unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Septemba 13, 2026, huku Uwanja wa Uhuru ukitarajiwa kuwa sehemu ya pambano hilo muhimu. CAF imetangaza kwamba michezo ya marudiano ya raundi hii itachezwa kati ya Septemba 11 hadi 13.

Mchezo wa kwanza utachezwa Malawi, Jumapili hii ambapo Mighty Wanderers itakuwa mwenyeji wa Simba kabla ya Wekundu wa Msimbazi kurejea nyumbani kwa ajili ya mchezo wa marudiano. Mshindi wa jumla wa michezo hiyo miwili ataingia hatua inayofuata ya mashindano.


  

More Stories

Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Today, READ MORE β†’
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Today, READ MORE β†’
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Today, READ MORE β†’
CAF: Timu mwenyeji ndiye mwenye jukumu la urushaji wa matangazo ya mechi hatua za awali
CAF: Timu mwenyeji ndiye mwenye jukumu la urushaji wa matangazo ya mechi hatua za awali
Today, READ MORE β†’
Yanga na Simba zaweka hadharani viwanja vya nyumbani ligi ya mabingwa
Yanga na Simba zaweka hadharani viwanja vya nyumbani ligi ya mabingwa
Today, READ MORE β†’
Yanga SC wafika Johannesburg, waelekea Botswana kwa ajili ya mchezo wa CAF
Yanga SC wafika Johannesburg, waelekea Botswana kwa ajili ya mchezo wa CAF
Today, READ MORE β†’
Steve Barker atoa wasiwasi kuhusu hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo
Steve Barker atoa wasiwasi kuhusu hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo
Today, READ MORE β†’
CAF Champions League na Confederation Cup Zaanza Wikiendi Hii.
CAF Champions League na Confederation Cup Zaanza Wikiendi Hii.
Today, READ MORE β†’
Uwanja wa Uhuru waandaliwa tayari kuwa machinjio ya Simba kwenye CAF Champions League.
Uwanja wa Uhuru waandaliwa tayari kuwa machinjio ya Simba kwenye CAF Champions League.
Today, READ MORE β†’
Singida Black Stars Yaibuka na Ushindi, Yapanda Nafasi ya Nne NBC Premier League.
Singida Black Stars Yaibuka na Ushindi, Yapanda Nafasi ya Nne NBC Premier League.
Today, READ MORE β†’