Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 4th September 2026


Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho

Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Aziz Ki, ameonekana kufanya mazoezi ya ziada baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu hiyo nchini Botswana, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United.

Hatua hiyo inakuja baada ya Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, kueleza kuwa Aziz Ki bado hajafikia kiwango anachokihitaji kutokana na kukosa maandalizi ya msimu (pre-season), jambo linalomfanya mchezaji huyo kuendelea kuongeza juhudi katika maandalizi yake.

Yanga itashuka uwanjani kesho dhidi ya Gaborone United katika mchezo wa mkondo wa kwanza, utakaochezwa nchini Botswana majira ya saa 2 usiku, kabla ya timu hizo kukutana tena katika mchezo wa marudiano Septemba 12, 2026.


  

More Stories

Massanza akumbana na fainali kamati ya saa 72
Massanza akumbana na fainali kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.
Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.
Today, READ MORE β†’
Bodi ya ligi tanzania bara yafuta kadi nyekundu ya Gibril sillah wa Azam
Bodi ya ligi tanzania bara yafuta kadi nyekundu ya Gibril sillah wa Azam
Today, READ MORE β†’
Mngqithi: Gaborone United ni timu imara, Yanga inakabiliwa na mtihani mgumu.
Mngqithi: Gaborone United ni timu imara, Yanga inakabiliwa na mtihani mgumu.
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ally atuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Mighty wanderers
Ahmed Ally atuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Mighty wanderers
Today, READ MORE β†’
Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho
Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho
Today, READ MORE β†’
Bernard Kamungo ajumuishwa rasmi kwenye kikosi cha Taifa Stars.
Bernard Kamungo ajumuishwa rasmi kwenye kikosi cha Taifa Stars.
Today, READ MORE β†’
Kikosi Cha awali Taifa Stars hadharani kufuzu Afcon 2027
Kikosi Cha awali Taifa Stars hadharani kufuzu Afcon 2027
Today, READ MORE β†’
CAF yakagua arusha kujiweka tayari kwa afcon 2027.
CAF yakagua arusha kujiweka tayari kwa afcon 2027.
Today, READ MORE β†’
Rushine aahidi makubwa kimataifa, Simba ikielekea malawi
Rushine aahidi makubwa kimataifa, Simba ikielekea malawi
Today, READ MORE β†’