Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 4th September 2026


Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.

Mshambuliaji wa Young Africans SC, Albert Kangwanda, amesema hali ya kikosi kambini ni nzuri na wachezaji wamejiandaa vyema kuelekea mchezo wao wa CAF Champions League dhidi ya Gaborone United ya Botswana.

Kangwanda amesema maandalizi yameenda vizuri na kwamba kikosi kiko tayari kupambana kwa nguvu zote katika mchezo huo. Amesisitiza kuwa wachezaji wamejipanga kuhakikisha wanatoa kila kitu uwanjani ili kupata matokeo waliyokwenda kuyatafuta.

Yanga inatarajiwa kushuka dimbani Jumamosi, Septemba 5, 2026, dhidi ya Gaborone United katika Uwanja wa Gaborone National Stadium, huku timu hiyo ikilenga kuanza kampeni yake ya CAF Champions League kwa matokeo chanya ugenini.


  

More Stories

Massanza akumbana na fainali kamati ya saa 72
Massanza akumbana na fainali kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.
Kangwanda: Tumejiandaa vizuri, tutatoa kila kitu uwanjani.
Today, READ MORE β†’
Bodi ya ligi tanzania bara yafuta kadi nyekundu ya Gibril sillah wa Azam
Bodi ya ligi tanzania bara yafuta kadi nyekundu ya Gibril sillah wa Azam
Today, READ MORE β†’
Mngqithi: Gaborone United ni timu imara, Yanga inakabiliwa na mtihani mgumu.
Mngqithi: Gaborone United ni timu imara, Yanga inakabiliwa na mtihani mgumu.
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ally atuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Mighty wanderers
Ahmed Ally atuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Mighty wanderers
Today, READ MORE β†’
Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho
Aziz KI apewa mazoezi ya ziada kuingamiza Gaborone united kesho
Today, READ MORE β†’
Bernard Kamungo ajumuishwa rasmi kwenye kikosi cha Taifa Stars.
Bernard Kamungo ajumuishwa rasmi kwenye kikosi cha Taifa Stars.
Today, READ MORE β†’
Kikosi Cha awali Taifa Stars hadharani kufuzu Afcon 2027
Kikosi Cha awali Taifa Stars hadharani kufuzu Afcon 2027
Today, READ MORE β†’
CAF yakagua arusha kujiweka tayari kwa afcon 2027.
CAF yakagua arusha kujiweka tayari kwa afcon 2027.
Today, READ MORE β†’
Rushine aahidi makubwa kimataifa, Simba ikielekea malawi
Rushine aahidi makubwa kimataifa, Simba ikielekea malawi
Today, READ MORE β†’