Local, Normal News, NBC Premier League, Namungo, Azam Fc

Azam Fc yabeba points tatu NBC Premier League mbele ya Namungo.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
50m ago
Azam Fc yabeba points tatu NBC Premier League mbele ya Namungo.

Azam FC imeanza vyema kwenye NBC Premier League baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC. Hassan Mubiru aliipatia Azam FC bao la kwanza dakika ya 28, kabla ya Gibril Sillah kufunga bao la pili dakika ya 90+3 na kukamilisha ushindi huo.

Sillah ameendelea na mwendelezo mzuri baada ya kurejea uwanjani kufuatia kufutiwa adhabu ya kadi nyekundu aliyopata kimakosa katika mchezo uliopita. 

Sasa Azam FC itahamia kwenye mchezo mwingine mgumu wa NBC Premier League, ambapo itakutana na Simba SC Jumatano hii katika mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Azam FC 2-0 Namungo FC, pointi tatu muhimu kwa Wana-Lamba Lamba, huku macho sasa yakielekezwa kwenye kibarua dhidi ya Simba.

More Stories

Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.
Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.
39m ago
READ MORE β†’
Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
10h ago
READ MORE β†’
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo
10h ago
READ MORE β†’
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
12h ago
READ MORE β†’
Azam na Namungo kukipiga leo, Rekodi yawaumiza wageni
Azam na Namungo kukipiga leo, Rekodi yawaumiza wageni
12h ago
READ MORE β†’
Singida Black Stars wafika Uwanja wa Kimataifa wa Juba kurejea Dar es Salaam
Singida Black Stars wafika Uwanja wa Kimataifa wa Juba kurejea Dar es Salaam
14h ago
READ MORE β†’
Depu Azidi Kuwaka, akiipa Petro de Luanda Ushindi Ugenini.
Depu Azidi Kuwaka, akiipa Petro de Luanda Ushindi Ugenini.
14h ago
READ MORE β†’
Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake
Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake
16h ago
READ MORE β†’
Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba
Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba
16h ago
READ MORE β†’