Local, Normal News, NBC Premier League, TRA United

Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
43m ago
Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.

TRA United imefanya uamuzi wa kumuondoa kazini kocha wao Etienne Ndayiragije, kufuatia mwenendo usioridhisha wa timu katika kipindi cha hivi karibuni.

Leo, uongozi wa TRA United ulikutana katika kikao kizito cha kutathmini hali ya timu, ambapo kikao hicho kimehitimishwa kwa uamuzi wa kuachana na Ndayiragije.

Kocha huyo sasa anaondoka kwenye benchi la TRA United, huku uongozi ukitarajiwa kuchukua hatua zaidi kuhakikisha timu inarejea kwenye mwenendo mzuri wa matokeo.

More Stories

Azam Fc yabeba points tatu NBC Premier League mbele ya Namungo.
Azam Fc yabeba points tatu NBC Premier League mbele ya Namungo.
54m ago
READ MORE β†’
Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
10h ago
READ MORE β†’
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo
10h ago
READ MORE β†’
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
12h ago
READ MORE β†’
Azam na Namungo kukipiga leo, Rekodi yawaumiza wageni
Azam na Namungo kukipiga leo, Rekodi yawaumiza wageni
12h ago
READ MORE β†’
Singida Black Stars wafika Uwanja wa Kimataifa wa Juba kurejea Dar es Salaam
Singida Black Stars wafika Uwanja wa Kimataifa wa Juba kurejea Dar es Salaam
14h ago
READ MORE β†’
Depu Azidi Kuwaka, akiipa Petro de Luanda Ushindi Ugenini.
Depu Azidi Kuwaka, akiipa Petro de Luanda Ushindi Ugenini.
14h ago
READ MORE β†’
Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake
Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake
16h ago
READ MORE β†’
Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba
Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba
16h ago
READ MORE β†’