Local, Normal News, Mecky Mexime, Ndayiragije, Ligi kuu bara, TRA, Mbeya city

Mecky mexime kutua TRA, Kuchukua mikoba ya Ndayiragije

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
2h ago
Mecky mexime kutua TRA, Kuchukua mikoba ya Ndayiragije

Kocha Mecky Mexime anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa TRA United, akichukua nafasi ya Etienne Ndayiragije ambaye klabu hiyo imeachana naye baada ya mwenendo usioridhisha katika mwanzo wa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa, Mexime tayari yupo njiani kujiunga na TRA United na anatarajiwa kuanza majukumu yake mapya mara baada ya kukamilika kwa taratibu za kujiunga na klabu hiyo.

Ndayiragije ameondoka TRA United baada ya kuiongoza timu hiyo katika michezo mitano ya ligi bila kupata ushindi, ikiwa imekusanya pointi tatu kupitia sare tatu na kupoteza michezo miwili.

Mexime, ambaye msimu uliopita alikuwa akiinoa Mbeya City, sasa anakabiliwa na jukumu la kuirekebisha TRA United na kuipa mwelekeo mpya katika msimu wa 2026/27, huku akitarajiwa kuanza kazi baada ya kutangazwa rasmi na klabu hiyo.

More Stories

Chama aweka wazi kinachoendelea nje ya uwanja, si sehemu ya maisha yangu
Chama aweka wazi kinachoendelea nje ya uwanja, si sehemu ya maisha yangu
3m ago
READ MORE β†’
Doumbia akiri mambo magumu, haijawahi kutokea
Doumbia akiri mambo magumu, haijawahi kutokea
55m ago
READ MORE β†’
Morocco apindua meza TRA United, kumrithi Ndayirajige
Morocco apindua meza TRA United, kumrithi Ndayirajige
1h ago
READ MORE β†’
UEFA Champions League kuendelea leo kwa mechi sita za kibabe.
UEFA Champions League kuendelea leo kwa mechi sita za kibabe.
1h ago
READ MORE β†’
Breaking news: Yanga yataja gharama za ujenzi, Azania bank ikihusika
Breaking news: Yanga yataja gharama za ujenzi, Azania bank ikihusika
3h ago
READ MORE β†’
Yanga yaanza safari mpya ya ujenzi, ghorofa 12 kujengwa mafia na nyamwezi
Yanga yaanza safari mpya ya ujenzi, ghorofa 12 kujengwa mafia na nyamwezi
3h ago
READ MORE β†’
NBC PREMIER LEAGUE: Mashujaa na Singida Bs kuingia kwenye vita ya kusaka alama tatu.
NBC PREMIER LEAGUE: Mashujaa na Singida Bs kuingia kwenye vita ya kusaka alama tatu.
3h ago
READ MORE β†’
Mafanikio ya Yanga hayajaanza leo, yalianza kwa maono ya wazee
Mafanikio ya Yanga hayajaanza leo, yalianza kwa maono ya wazee
3h ago
READ MORE β†’
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: matokeo ya usiku huu.
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: matokeo ya usiku huu.
14h ago
READ MORE β†’