Local, Normal News, Mecky Mexime, Ndayiragije, Ligi kuu bara, TRA, Mbeya city

Mecky mexime kutua TRA, Kuchukua mikoba ya Ndayiragije

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
1h ago
Mecky mexime kutua TRA, Kuchukua mikoba ya Ndayiragije

Kocha Mecky Mexime anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa TRA United, akichukua nafasi ya Etienne Ndayiragije ambaye klabu hiyo imeachana naye baada ya mwenendo usioridhisha katika mwanzo wa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa, Mexime tayari yupo njiani kujiunga na TRA United na anatarajiwa kuanza majukumu yake mapya mara baada ya kukamilika kwa taratibu za kujiunga na klabu hiyo.

Ndayiragije ameondoka TRA United baada ya kuiongoza timu hiyo katika michezo mitano ya ligi bila kupata ushindi, ikiwa imekusanya pointi tatu kupitia sare tatu na kupoteza michezo miwili.

Mexime, ambaye msimu uliopita alikuwa akiinoa Mbeya City, sasa anakabiliwa na jukumu la kuirekebisha TRA United na kuipa mwelekeo mpya katika msimu wa 2026/27, huku akitarajiwa kuanza kazi baada ya kutangazwa rasmi na klabu hiyo.

More Stories

Doumbia akiri mambo magumu, haijawahi kutokea
Doumbia akiri mambo magumu, haijawahi kutokea
21m ago
READ MORE β†’
Morocco apindua meza TRA United, kumrithi Ndayirajige
Morocco apindua meza TRA United, kumrithi Ndayirajige
29m ago
READ MORE β†’
UEFA Champions League kuendelea leo kwa mechi sita za kibabe.
UEFA Champions League kuendelea leo kwa mechi sita za kibabe.
40m ago
READ MORE β†’
Breaking news: Yanga yataja gharama za ujenzi, Azania bank ikihusika
Breaking news: Yanga yataja gharama za ujenzi, Azania bank ikihusika
2h ago
READ MORE β†’
Yanga yaanza safari mpya ya ujenzi, ghorofa 12 kujengwa mafia na nyamwezi
Yanga yaanza safari mpya ya ujenzi, ghorofa 12 kujengwa mafia na nyamwezi
2h ago
READ MORE β†’
NBC PREMIER LEAGUE: Mashujaa na Singida Bs kuingia kwenye vita ya kusaka alama tatu.
NBC PREMIER LEAGUE: Mashujaa na Singida Bs kuingia kwenye vita ya kusaka alama tatu.
2h ago
READ MORE β†’
Mafanikio ya Yanga hayajaanza leo, yalianza kwa maono ya wazee
Mafanikio ya Yanga hayajaanza leo, yalianza kwa maono ya wazee
2h ago
READ MORE β†’
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: matokeo ya usiku huu.
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: matokeo ya usiku huu.
13h ago
READ MORE β†’
Gamondi aenda Simba kujenga ushirikiano na TFF
Gamondi aenda Simba kujenga ushirikiano na TFF
23h ago
READ MORE β†’