Local, Normal News, NBC Premier League, Simba, Yanga

Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
โ€ข
35m ago
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.

Winga wa Simba SC, raia wa Senegal Libasse Gueye, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa Agosti katika NBC Premier League, baada ya kuwashinda wapinzani wake Oscar Mwajanga wa Mbeya City na Maxi Nzengeli wa Yanga SC waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho.

Gueye amefanya vizuri katika mwezi huo, akionyesha kiwango bora na kuwa miongoni mwa wachezaji waliotoa mchango mkubwa kwa Simba katika michezo ya ligi.

Katika mwezi wa Agosti, Libasse amehusika moja kwa moja katika mabao sita ya Simba, akifanikiwa kutoa assist tano huku akifunga bao moja.

Tuzo hiyo inaendelea kuonyesha namna winga huyo alivyoanza kuleta ushawishi katika kikosi cha Simba, hasa kwenye kutengeneza nafasi na kuwaunganisha washambuliaji na mabao.

Kwa upande mwingine, Oscar Mwajanga na Maxi Nzengeli walitoa ushindani katika kinyang’anyiro hicho, lakini kura na tathmini za mwezi huo zimempa ushindi Libasse Gueye.

More Stories

Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
23m ago
READ MORE โ†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
2h ago
READ MORE โ†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
5h ago
READ MORE โ†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
13h ago
READ MORE โ†’
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
19h ago
READ MORE โ†’
Rasmi: Hemed Suleiman โ€œMoroccoโ€ ametangazwa kocha mpya wa TRA United
Rasmi: Hemed Suleiman โ€œMoroccoโ€ ametangazwa kocha mpya wa TRA United
19h ago
READ MORE โ†’
Manqoba anautaka ubingwa Afrika
Manqoba anautaka ubingwa Afrika
19h ago
READ MORE โ†’
Uefa champions League: matokeo ya mechi 6 za kibabe leo.
Uefa champions League: matokeo ya mechi 6 za kibabe leo.
1d ago
READ MORE โ†’
Clara Luvanga aweka historia Marekani, asajiliwa kwa rekodi Tanzania
Clara Luvanga aweka historia Marekani, asajiliwa kwa rekodi Tanzania
1d ago
READ MORE โ†’