Local, Normal News, CAF Champions League, Yanga, Gaborone United

CAF Champions league kuendelea leo

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
2h ago
CAF Champions league kuendelea leo

Michuano ya CAF Champions League inaendelea leo, ambapo Yanga SC itakuwa dimbani kuikabili Gaborone United ya Botswana.

Mchezo huo utapigwa katika uwanja wa Azam Complex, kuanzia saa 1:00 usiku, huku Yanga ikilenga kupata matokeo mazuri katika hatua hii ya michuano.

Mchezo huo ni muhimu kwa Yanga katika safari yake ya kuwania nafasi ya kusonga mbele kwenye mashindano makubwa zaidi ya klabu barani Afrika.

More Stories

Barker apania kuendeleza ubabe dhidi ya Mighty Wonderers
Barker apania kuendeleza ubabe dhidi ya Mighty Wonderers
26m ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 25, Septemba 12 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 25, Septemba 12 2026
1h ago
READ MORE β†’
EPL leo: mechi saba za kibabe
EPL leo: mechi saba za kibabe
1h ago
READ MORE β†’
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
14h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
17h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
19h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
21h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
23h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
1d ago
READ MORE β†’