Local, Normal News, Yanga, St George

Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
5h ago
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.

Yanga SC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya St George katika mchezo wa kirafiki uliochezwa leo. Ushindi huo unawapa Wananchi nafasi ya kuendelea kujipima na kuimarisha maandalizi yao kuelekea michezo inayofuata.

Bao pekee la mchezo huo limepatikana kupitia Maxi Nzengeli, ambaye ameipa Yanga ushindi muhimu katika mchezo huo wa maandalizi.

Yanga ilitawala mchezo kwa kutafuta nafasi za kuongeza mabao, huku St George wakijaribu kujibu mashambulizi lakini wakashindwa kupata bao la kusawazisha hadi dakika ya mwisho.

Mchezo huo umeipa benchi la ufundi la Yanga nafasi ya kuendelea kuwaangalia wachezaji wake na kufanya tathmini ya kiwango cha kikosi kabla ya kuingia kwenye michezo rasmi.

FULL TIME: Yanga 1-0 St George. Ushindi mwingine kwa Wananchi katika mchezo wa kirafiki.

More Stories

Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
10h ago
READ MORE β†’
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
10h ago
READ MORE β†’
Sandaland kuchukua hatua kufuatia kauli za Makonda juu ya jezi za Taifa stars
Sandaland kuchukua hatua kufuatia kauli za Makonda juu ya jezi za Taifa stars
10h ago
READ MORE β†’
Tuchel awarejesha Trent na Palmer kikosi cha England
Tuchel awarejesha Trent na Palmer kikosi cha England
11h ago
READ MORE β†’
Wizara kuunda kamati kuchunguza mkataba wa jezi timu za taifa
Wizara kuunda kamati kuchunguza mkataba wa jezi timu za taifa
12h ago
READ MORE β†’
Pyramids ya mokwena haishikiki misri, yaandelea kuongoza msimamo
Pyramids ya mokwena haishikiki misri, yaandelea kuongoza msimamo
13h ago
READ MORE β†’
EPL kuendelea leo kwa dabi ya London kati ya Brentford dhidi ya Chelsea
EPL kuendelea leo kwa dabi ya London kati ya Brentford dhidi ya Chelsea
14h ago
READ MORE β†’
Yanga yapambana kuondoa kadi nyekundu ya Aziz Ki kabla ya derby ya simba
Yanga yapambana kuondoa kadi nyekundu ya Aziz Ki kabla ya derby ya simba
17h ago
READ MORE β†’
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
1d ago
READ MORE β†’