PSG - Barcelona - International

Messi ampiku Ronaldo mabao Ulaya

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Apr 2023
Messi ampiku Ronaldo mabao Ulaya

Lionel Messi aliongeza rekodi mpya kwenye wasifu wake siku ya Jumamosi, akiwa mfungaji bora katika historia ya ligi kuu tano bora barani Ulaya

Kwa bao alilofunga Jumamosi dhidi ya Lens, Muargentina huyo wa PSG anafikisha mabao 495 sawa na Cristiano Ronaldo kabla ya kuondoka kwenda Saudi Arabia

Bao hilo (la 15 kwenye Ligue 1) linamfanya Messi kufikisha 21 katika misimu yake miwili kwenye Ligue 1, huku akifunga 474 kwenye LaLiga Santander akiwa na Barcelona.

Kwa upande wake, Cristiano mabao hayo 495 yamegawanywa kama ifuatavyo: 84 akiwa Manchester United; 311 akiwa Real Madrid; 81 akiwa Juventus; na 19 katika awamu yake ya pili United

Wiki moja kabla, Messi pia alikua mfungaji bora wa muda wote katika ngazi ya klabu barani Ulaya akiwa na mabao 702.

Sasa, akiwa na bao lake la hivi karibuni, ana mabao 703 katika mashindano yote katika ngazi ya klabu barani Ulaya. Cristiano, barani Ulaya, alifunga mabao 701 katika mashindano yote.

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’