Klabu ya Azam FC imeingia makubaliano ya kuimiliki Baobab Queens ya Dodoma kwa muda wa mwaka mmoja nili kutimiza sharti la CAF ambao wameagiza klabu zote zitakazoshiriki michuano ya CAF msimu ujao lazima ziwe na timu za Wanawake
..... download Xtra 90 App



