Uongozi wa Simba umesema wanatumia utaratibu mzuri kulingana na vipengele vya mikataba yao na wachezaji inapofika hatua ya kuachana na mchezaji ambaye bado mkataba wake na klabu upo hai, jambo ambalo pia wanalitekeleza kwa kiungo mkabaji Ismael Sawadogo
..... download Xtra 90 App



