Azam - Local - Transfer

Azam Fc sign a striker from Colombia

Joel JJ By Joel JJ
30 May 2024
Azam Fc sign a striker from Colombia

Azam Fc club has continued to make improvements to the squad towards the African Champions League next season where the team has announced the signing of Colombian striker Jhonier Blanco

Azam Fc have confirmed the completion of the striker's registration earlier today;

"Tunayo furaha kutangaza kwamba tumekamilisha uhamisho wa mshambuliaji raia wa Colombia, Jhonier Blanco, kutoka klabu ya Aguilas Doradas ya mji wa Rionegro, inayoshiriki Ligi Kuu ya Colombia.

Blanco aliyezaliwa Oktoba 18, 2000, amesaini mkataba wa miaka minne baada ya kufaulu vipimo vya afya, kufuatuatia makubaliano baina ya klabu yake na Azam FC.

Alianzia soka lake kwenye akademi ya Club Deportivo Estudiantil kabla ya kujiunga na timu ya ligi kuu ya Aguilas Doradas.

Akatolewa kwa mkopo kwenye klabu ya daraja la kwanza ya Fortaleza. Akiwa na klabu hiyo, akaibuka kuwa mfungaji bora akiisaidia kupanda daraja. Baada ya mkopo akarudi klabuni kwake Aguilas Doradas hadi sasa ambapo Azam FC imemnunua"

More Stories

Mo dewji offers Tsh 200 million incentive to simba ahead of mzizima derby
Mo dewji offers Tsh 200 million incentive to simba ahead of mzizima derby
31m ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea set to make move for Fabián Ruiz
BREAKING: Chelsea set to make move for Fabián Ruiz
1h ago
READ MORE →
Pape sakho could leave Raja to make room for philipinho
Pape sakho could leave Raja to make room for philipinho
1h ago
READ MORE →
Liverpool knock Tottenham out of the Carabao Cup.
Liverpool knock Tottenham out of the Carabao Cup.
2h ago
READ MORE →
Azam Fc and Simba Renew Rivalry in High-Stakes Mzizima Derby
Azam Fc and Simba Renew Rivalry in High-Stakes Mzizima Derby
3h ago
READ MORE →
Patrice Motsepe to arrive in Tanzania for AFCON 2027 preparations inspection
Patrice Motsepe to arrive in Tanzania for AFCON 2027 preparations inspection
3h ago
READ MORE →
Three hard-fought points! Yanga 1-0 Geita Gold
Three hard-fought points! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE →
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE →
Finally, Yanga feel the pain of a red card after Aziz Ki is sent off
Finally, Yanga feel the pain of a red card after Aziz Ki is sent off
18h ago
READ MORE →