Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limethibitisha kuwa makala ya nane ya Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) yatafanyika kuanzia Februari 1 hadi 28, 2025 nchini Kenya, Tanzania na Uganda. Tangazo hilo lilitolewa na Rais wa CAF Patrice Motsepe siku ya Jumatatu
..... download Xtra 90 App



