Wiki mbili baada ya kurejea kutoka kwenye majeraha yaliyomuweka nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi 12, nyota wa Brazil Neymar ameumia paja akiitumikia Al-Hilal kwenye Ligi ya Mabingwa Asia.
Katika dakika ya 58 ya ushindi wa 3-0 wa Al Hilal dhidi ya Esteghlal ya Iran, Neymar aliingia uwanjani lakini hakudumu uwanjani kwa muda mrefu, akatoka tena dakika ya 87 baada ya kwenda chini na kushika..... download Xtra 90 App



