Kocha wa Bayern Munich, Vincent Kompany amesema kifo cha shabiki wao mmoja aliyekuwepo uwanjani juzi kutazama mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Benfica kilisababisha wasishangilie baada ya mechi kumalizika kama ilivyo kawaida yao
Shabiki huyo alizidiwa jukwaani katika uwanja huo wa Allianz Arena na watu wa huduma ya kwanza walimpatia matibabu kwa dakika kadhaa kabla ya kumbeba..... download Xtra 90 App



