TFF yakanusha uvumi kuhusu Ame

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st November 2024


TFF yakanusha uvumi kuhusu Ame

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeshangazwa na taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu uhalali wa mchezaji Muhamed Ame kuchezea timu ya Taifa (Taifa Stars)

Tunapenda kuufahamisha umma kuwa Ame ni miongoni wa wachezaji 23 waliokuwa wameorodheshwa kwa ajili ya mechi dhidi ya Guinea. Kabla ya mechi hiyo, wachezaji wa Stars walikaguliwa na timu pinzani pamoja na Kamishna ambapo waliruhusiwa kucheza

Mechi hiyo ya mchujo ya AFCON ilichezwa Dar es Salaam ambapo Stars ilishinda bao 1-0, hivyo kufuzu kucheza fainali

TFF haina taarifa yoyote kutoka Shirikisho la Mpira wa Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kuwa ushiriki wa Ame katika mechi hiyo haukuwa halali

Hivyo, taarifa hizo za mitandaoni zisiwazuie Watanzania kuendelea kushangilia ushindi wa Taifa Stars.


  

More Stories

Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Today, READ MORE β†’
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Today, READ MORE β†’
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Sowah kurejea Singida BS?
Sowah kurejea Singida BS?
Today, READ MORE β†’
Mubiru atua Azam Fc
Mubiru atua Azam Fc
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Today, READ MORE β†’
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Today, READ MORE β†’
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’