Local,Normal News,Tanzania, Afcon 2025

TFF yakanusha uvumi kuhusu Ame

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Nov 2024
TFF yakanusha uvumi kuhusu Ame

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeshangazwa na taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu uhalali wa mchezaji Muhamed Ame kuchezea timu ya Taifa (Taifa Stars)

Tunapenda kuufahamisha umma kuwa Ame ni miongoni wa wachezaji 23 waliokuwa wameorodheshwa kwa ajili ya mechi dhidi ya Guinea. Kabla ya mechi hiyo, wachezaji wa Stars walikaguliwa na timu pinzani pamoja na Kamishna ambapo waliruhusiwa kucheza

Mechi hiyo ya mchujo ya AFCON ilichezwa Dar es Salaam ambapo Stars ilishinda bao 1-0, hivyo kufuzu kucheza fainali

TFF haina taarifa yoyote kutoka Shirikisho la Mpira wa Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kuwa ushiriki wa Ame katika mechi hiyo haukuwa halali

Hivyo, taarifa hizo za mitandaoni zisiwazuie Watanzania kuendelea kushangilia ushindi wa Taifa Stars.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
14m ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
5h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
10h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
10h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
12h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE β†’