Simba Sc leo usiku itashuka kwenye Uwanja wa Novemba 11, Luanda, Angola kumenyana na Bravos katika mchezo wa raundi ya tano hatua ya makundi kombe la Shirikisho (CAF CC)
Matarajio ya mashabiki wa Simba leo ni kuona timu yao inafanya kile ilichokifanya miaka 31 iliyopita ilipofanikiwa kufuzu hatua ya fainali ya Kombe la CAF, ambalo sasa linaitwa Kombe la Shirikisho, dhidi ya Atletico..... download Xtra 90 App



