Baada ya kuichapa Al Hilal bao 1-0 ugenini huko Mauritania na kurejesha matumaini ya kufuzu robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF CL), Kocha Mkuu wa Yanga Sead Ramovic amesitisha sherehe na kuwataka wachezaji wasahau ushindi dhidi ya Al Hilal kwani wanakabiliwa na mechi muhimu mwishoni mwa wiki dhidi ya MC Alger
Jumamosi, Januari 18 Yanga inahitaji kushinda mchezo dhidi ya..... download Xtra 90 App



