Klabu ya Yanga imetangaza msimamo wake kufuatia sintofahamu iliyojitokeza na kupelekea kuahirishwa mchezo wa ligi kuu namba 184 kati ya Yanga dhidi ya Simba ambao ulipaswa kupigwa Jumamosi March 08 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



