Local,Normal News,Yanga

Yanga yatangaza msimamo kuhusu Derby

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 Mar 2025
Yanga yatangaza msimamo kuhusu Derby

Klabu ya Yanga imetangaza msimamo wake kufuatia sintofahamu iliyojitokeza na kupelekea kuahirishwa mchezo wa ligi kuu namba 184 kati ya Yanga dhidi ya Simba ambao ulipaswa kupigwa Jumamosi March 08 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Kupitia kikao cha dharura cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika March 09, Yanga imetangaza haitashiriki mchezo namba 184 kwa tarehe yoyote ambayo itapangwa

Mabingwa hao wa Tanzania Bara wametaka kupewa haki ya USHINDI kwa mujibu wa kanuni pale timu moja inapogomea mechi

Lakini pia Yanga imetangaza kukosa imani na Mwenyekiti wa Kamati ya Uendeshaji wa Ligi Steven Mnguto na Katibu wa Kamati hiyo, Almas Kasongo wakilitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuivunja Kamati hiyo na kuteua viongozi waadilifu wenye nia njema na maslahi mapana ya mpira wa Tanzania

Katika taarifa hiyo iliyotolewa na klabu, imethibitisha Simba ilishiriki kikao cha kuelekea mchezo huo 'pre-match' kilichofanyika March 07 na katika kikao hicho haikutoa taarifa yoyote kuhusu kusudio lao la kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa usiku

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’