Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' iliondoka jana nchini kuelekea Morocco kwenye mchezo wa Kundi E wa kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya wenyeji Morocco utakaochezwa Machi 26
Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja Uwanja wa Honneur uliopo Manispaa ya d'Oujda. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma alikabidhi bendera ya Taifa kwa wachezaji wa Taifa Stars..... download Xtra 90 App



