Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Singida jana zilitibua mchezo wa kirafiki kati ya Singida BS dhidi ya Yanga uliokuwa ukiendelea katika uwanja wa Airtel
Mchezo huo ulikuwa maalum kuadhimisha uzinduzi wa uwanja huo ambapo Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh Hamis Mwinjuma alizindua mapema
Dakika tano tu baada ya kuanza kipindi cha pili, Mwamuzi wa mchezo..... download Xtra 90 App



