Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amewataka mashabiki wa timu hiyo kukaa tayari kwa mchezo wa marudiano robo fainali ya kombe la Shirikisho(CAF CC) dhidi ya Al Masry ambao utapigwa Jumatano ijayo April 09 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Akizungumza baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Misri na Simba kukubali kipigo cha mabao 2-0, Mangungu alisema hayakuwa matokeo..... download Xtra 90 App



