Baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Stellenbosch katika mchezo wa mkondo wa kwanza nusu fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC), Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids ameweka mkakati wa kuhakikisha kikosi chake kinashinda mchezo wa mkondo wa pili ugenini na kujihakikishia tiketi ya kucheza fainali
Jumapili, April 27 Simba itakuwa ugenini huko Durban Afrika Kusini kuwania matokeo ya kuwapeleka..... download Xtra 90 App



