Uongozi wa Yanga umeweka mkakati wa kuhakikisha msimu ujao wanarejea kwa nguvu kubwa katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika
Baada ya kucheza fainali ya kombe la Shirikisho 2022/23 na pia kucheza robo fainali ya ligi ya mabingwa 2023/24, msimu huu Wananchi hawakufanikiwa kuvuka hatua ya makundi
Ikiongoza ligi kuu ya NBC ikiwa na alama 70, Yanga tayari imejihakikishia..... download Xtra 90 App



