Wazee wa klabu ya Yanga wametishia kwenda Mahakamani kuzuia kutangazwa bingwa wa ligi kuu msimu huu kama Yanga haitatendewa haki huku wakiitaka TPLB kutoka hadharani kutaja sababu iliyopelekea kuahirisha mchezo namba 184 kati ya Yanga dhidi ya Simba uliopaswa kupigwa March 08 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Akizungumza baada ya kuhitimishwa kwa Mkutano uliowakutanisha wazee wa Yanga..... download Xtra 90 App



