Local,Normal News,International

Ronaldinho kukiwasha New Amaan Complex

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 May 2025
Ronaldinho kukiwasha New Amaan Complex

Wachezaji wakongwe wa soka visiwani Zanzibar watakaovaa na mastaa wa zamani wa Brazili wamefahamika baada ya waratibu wa pambano hilo lililopewa jina la 'Match of the Legends' kuweka hadharani leo Alhamisi visiwani Zanzibar

Mechi ya kimataifa ya kirafiki baina ya wachezaji hao wa zamani wa Brazili wakiongozwa na Ronaldo de Assis Moreira 'Ronaldinho Gaucho' dhidi ya wale wa Zanzibar itafanyika Julai 27 katika Uwanja mpya wa Amaan kuanzia saa 2:00 usiku

Kwa mujibu wa Balozi wa Heshima wa Brazil wa Zanzibar, Abdulsamad Abdulrahim, mechi hiyo itawakutanisha wachezaji maarufu duniani akiwemo Ronaldinho Gaucho na wengine wa zamani kutoka Brazili, huku Zanzibar ikitarajiwa kuongozwa na Abdallah Juma Alley (Abdulwakati Juma), Murtala Ahmad Kibamba, Bakari Masoud, Nassoro Mwinyi Bwanga na wengineo

Abdulrahim amesema, nyota wote wa zamani kutoka Brazil watawasili Zanzibar Julai 26 watafanya mazoezi na vijana wenye vipaji vya soka visiwani humo.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
44m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’