Wachezaji wakongwe wa soka visiwani Zanzibar watakaovaa na mastaa wa zamani wa Brazili wamefahamika baada ya waratibu wa pambano hilo lililopewa jina la 'Match of the Legends' kuweka hadharani leo Alhamisi visiwani Zanzibar
Mechi ya kimataifa ya kirafiki baina ya wachezaji hao wa zamani wa Brazili wakiongozwa na Ronaldo de Assis Moreira 'Ronaldinho Gaucho' dhidi ya wale wa Zanzibar..... download Xtra 90 App



