Klabu ya Kaizer Chiefs inayoshiriki ligi kuu ya Afrika Kusini, imekuwa ikihusishwa na nyota wawili wa Simba Kibu Denis na Jean Charles Ahoua
Hivi karibuni Kocha Mkuu wa timu hiyo Nasreddine Nabi alikuwa Tanzania ambapo alishuhudia mchezo wa ligi kuu kati ya Simba dhidi ya Singida Black Stars uliopigwa uwanja wa KMC Complex Simba ikiibuka na ushindi wa bao 1-0





