Klabu ya Azam FC imeanza rasmi harakati za kuhakikisha haitingishwi na uwezekano wa kuondokewa na Feisal Salum 'Fei Toto', kiungo wake tegemezi ambaye kwa sasa yupo katika rada za klabu kubwa kama Simba, Yanga, na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.
Ingawa Azam haijaweka wazi hatma ya kiungo huyo, tafsiri ya kiufundi ni wazi klabu..... download Xtra 90 App



