Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga, Ali Kamwe amewataka mashabiki na wanachama wa Yanga kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumatano katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya watani zao Simba
Mchezo huo wa mwisho msimu huu, utamtambulisha bingwa wa ligi kuu ya NBC ambapo atakabidhiwa kombe baada ya dakika 90 kukamilika
Kamwe amesema mpaka sasa zaidi ya tiketi..... download Xtra 90 App



