Local,Transfer News,Simba

Mabosi Simba wambakisha Camara

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 Jul 2025
Mabosi Simba wambakisha Camara

Uongozi wa Simba umepitisha mlinda lango namba moja wa timu hiyo Moussa Camara aendelee kulinda lango la wekundu hao wa Msimbazi kwa msimu mwingine, imefahamika

Camara alitua Simba msimu uliopita akitokea Horoya Ac ya Guinea, alisaini mkataba wa mwaka mmoja uliokuwa na kipengele cha kuongeza mwaka wa pili kama uongozi utaridhishwa na uwezo wake

Taarifa kutoka ndani ya uongozi imethibitisha kuwa baada ya majadiliano ya muda, mwafaka umefikiwa na golikipa bora huyo wa ligi kuu msimu uliopita, ataendelea kuitumikia Simba

Sasa Simba inapambana kukamilisha usajili wa mlinda lango mwingine Yacoub Mohammed kutoka klabu ya JKT Tanzania

Tayari Simba imeachana na magolikipa wawili Aishi Manula na Hussein Abel ambao mikataba yao imemalizika

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
45m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’