Local,Normal News,Simba

Ateba amekwama Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Aug 2025
Ateba amekwama Simba

Klabu ya Simba imefikia makubalino ya kuachana na mshambuliaji Lionel Ateba, imefahamika

Ateba aliyetua Simba msimu uliopita akitokea klabu ya USM Alger, anaondoka Msimbazi baada ya kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi kwa msimu mmoja akifunga mabao 13 kwenye ligi

Baada ya kukamilisha usajili wa kiungo kiraka Naby Camara, Simba ililazimika kupunguza nyota mmoja wa kigeni

Lilikuwa ni suala la muda tu kwa maamuzi hayo kufikiwa pale Simba ilipomsajili Jonathan Sowah kutoka Singida BS na kuwa na washambuliaji watatu wa kigeni

Baada ya Ateba kuondoka, nyota wa kigeni ambao wako katika kikosi cha Simba ni Moussa Camara, Rushine De Reuck, Chamou Carabou, Alassane Kante, Mohamed Bajaber na Neo Maema

Wengine ni Joshua Mutale, Jonathan Sowah, Jean Charles Ahoua, Elie Mpanzu, Steven Mukwala na Naby Camara

Dirisha la usajili la michuano ya ligi ya mabingwa limefungwa usiku wa kuamkia leo August 16

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
2h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’