Local,Normal News,Simba

Fadlu atimka Simba, mbadala wake ni suala la muda

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Sep 2025
Fadlu atimka Simba, mbadala wake ni suala la muda

Ni suala la muda klabu ya Simba itatangaza kuachana na kocha Fadlu Davids baada ya makubaliano ya pande mbili kufikiwa

Fadlu juzi aliiongoza Simba kwa mara ya mwisho katika mchezo wa hatua ya awali ligi ya mabingwa dhidi ya Gaborone United, mchezo ambao Simba iliibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini

Tayari Simba imeanza mchakato wa kumsaka mrithi wake haraka ili aendelee na majukumu akishirikiana na kocha Selemani Matola

Fadlu yuko mbioni kujiunga na klabu ya Raja Casablanca ambapo inaelezwa ameondoka na wasaidizi wawili aliokuwa nao Simba, Darian Wilker na Wayne Sandilands

Miongoni mwa majina ya makocha wanaotajwa Msimbazi ni pamoja na mkufunzi wa timu ya Taifa ya Kenya Benny Mccarthy huku pia jina la Miguel Gamondi mkufunzi wa Singida Black Stars likitajwa

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
2h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’